Yadaiwa Ocampo alichelewesha kesi za ICC makusudi

Upekuzi wa hivi punde umebaini kuwa aliyekuwa kiongozi wa mashtaka katika mahakama ya kimataifa (ICC) Luis Moreno Ocampo alifanya kila juhudi kuchelewesha maamuzi kuhusu mashtaka yaliyomkabili Rais Uhuru Kenyatta, naibu wake William Ruto na washukiwa wengine wanne ili kujiondolea fedheha kutokana na uchunguzi duni aliofanya. Upekuzi huo uliofanywa na muungano wa mashirika ya habari nchini ufaransa – Mediapart, umebaini kuwa Ocampo alimshawishi kiongozi wa sasa wa mashtaka ya umma Fatou Bensouda kutamatisha kesi ya Kenyatta, ili kujiondolea mzigo, na kujaribu kuikinga sura ya mahakama.

Tags:

ICC Ocampo Fatou Bensouda

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories