Zaidi ya vijana 900 kunufaika na NYS, Garissa
Published on: December 05, 2016 08:27 (EAT)
Zaidi ya vijana 900 kutoka kaunti ya garissa watanufaika na mpango wa kujiunga na huduma ya kitaifa ya vijana almaarufu nys kwa muda wa miezi mitatu ijayo. Akizindua mradi huo katika kaunti ya garissa naibu rais william ruto amesema kuwa serikali imetoa shilingi milioni 30 itakayowezesha mradi huo kuanzishwa
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment