Zaidi ya watu 2,500 wakimbia makazi yao Baringo

Wakazi wa eneo la muchongoi kaunti ya baringo waliandamana kulalamikia hali tete ya usalama licha ya uwepo wa maafisa wa polisi wanaoendeleza oparesheni katika eneo hilo.

 

Majambazi waliojihami walivamia kijiji cha hicho na kuiba mifugo wapataomia tano huku wakimjeruhi mtu mmoja vibaya kwa kumpiga risasi.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories