Soko La Nyayo Eneo La Ngara Lateketezwa Na Moto

Vocalize Pre-Player Loader

Audio By Vocalize

Wafanyibiashara kwenye soko la Nyayo eneo la Ngara, hapa jijini Nairobi, wanakadiria hasara baada ya moto kuteketeza mali yenye thamani ya maelfu ya fedha. Mkasa huo uliotokea mwendo wa saa kumi na nusu alfajiri, ulipelekea juhudi za wafanyibiashara hao pamoja na wazima moto waliokuja baada ya masaa mawili kuuzima. Na kama anavyotuarifu Mbaruk Mwalimu hakuna majeruhi walioripotiwa.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.