Ghasia zakumba uteuzi wa Jubilee
Published on: December 14, 2016 08:31 (EAT)
Mchakato wa kuwachagua wanachama watakaompigia debe rais Kenyatta na naibu wake mwakani unaonekana kuzua suitafahamu katika maeneo mbalimbali nchini. Na kama anavyotupasha mwanahabari wetu, Salim Swaleh, matukio hayo ya fujo sasa yanaonekana kuwapiga mshipa vigogo wa juu wa Jubilee.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment