Ghasia zakumba uteuzi wa Jubilee

Mchakato wa kuwachagua  wanachama watakaompigia debe rais Kenyatta na naibu wake mwakani unaonekana kuzua suitafahamu katika maeneo mbalimbali nchini. Na kama anavyotupasha mwanahabari wetu, Salim Swaleh, matukio hayo ya fujo sasa yanaonekana kuwapiga mshipa vigogo  wa juu wa Jubilee.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories