Kiwewe chazidi kuwakumba mawaziri ambao waliachwa nje

Siku kumi tangu Rais Kenyatta kutoa majina ya watu tisa ambao ananuia kuwajumuisha kwenye baraza la mawaziri, taifa limebaki kukisia mipango ya rais kuhusu uundaji wa baraza la mawaziri. Haya ni kutokana na majina ya watatu waliotarajiwa kuchunguzwa na bunge wiki jana akukosa kuwasilishwa bungeni hadi sasa, na rais akibana majina ya kumi na watatu waliosalia.

Tags:

Uhuru kenyatta Cabinet appointments CSs

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories