Miaka 3 ya muafaka wa amani wa Turkana na Pokot
Published on: December 30, 2017 08:59 (EAT)
Mamia ya watu kutoka jamii ya Wapokot na Waturkana walikongamana katika eneo la Turkwel kaunti ya Pokot Magharibi ili kusherekea miaka mitatu tangu jamii hiyo kuweka makubaliana ya kusitisha mashambulizi na wizi wa mifugo baina ya jamii hizo hasimu.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment