Rais apeleka kampeni Narok

Rais Uhuru Kenyatta amesema kwamba serikali haitaruhusu mtu yoyote kuwagawanya wakenya au kuharibu mali ya mtu mwengine rais, pia, amesema kwamba Kenya itaendelea kupambana na ugaidi. kadhalika rais aliongoza mkutano wa kampeni za Jubilee katika kaunti ya Narok.

Tags:

Uhuru kenyatta JUBILEE narok william ruto

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories