Rais apeleka kampeni Narok
Published on: June 09, 2017 08:04 (EAT)
Rais Uhuru Kenyatta amesema kwamba serikali haitaruhusu mtu yoyote kuwagawanya wakenya au kuharibu mali ya mtu mwengine rais, pia, amesema kwamba Kenya itaendelea kupambana na ugaidi. kadhalika rais aliongoza mkutano wa kampeni za Jubilee katika kaunti ya Narok.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment