Rais na naibu wake washindwa kufikia muafaka
Published on: January 11, 2018 08:14 (EAT)
Uundaji wa baraza la mawaziri unaonekana kuwapa kisunzi Rais Uhuru Kenyatta na naibu rais William Ruto. Hapo jana wawili hao walifanya kikao kwa saa nyingi katika ikulu ya Nairobi kujaribu kuafikia orodha kamili ya mawaziri bila muafaka kupatikana.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment