Rais na naibu wake washindwa kufikia muafaka

Uundaji wa baraza la mawaziri unaonekana kuwapa kisunzi Rais Uhuru Kenyatta na naibu rais William Ruto. Hapo jana wawili hao walifanya kikao kwa saa nyingi katika ikulu ya Nairobi kujaribu kuafikia orodha kamili ya mawaziri bila muafaka kupatikana.

Tags:

Fred Matiang'i DP Ruto Cabinet appointments Rais Uhur Kenyatta

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories