Sonko akosa kupata cheti cha nidhamu kutoka CID
Published on: March 16, 2017 09:18 (EAT)
Seneta wa Nairobi Mike Sonko huenda asiweze kugombania kiti cha ugavana wa nairobi kwenye uchaguzi mkuu ujao kutokana na kukosa kupata baadhi ya stakabadhi muhimu zinazohitajika kwa uteuzi. Swaleh mdoe anatuarifu zaidi
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment